Maelezo ya Chini
a Kadiri ndugu vijana wanavyokomaa kiroho, ndivyo ambavyo wangependa kumtumikia Yehova zaidi. Ili wastahili kuwa watumishi wa huduma, wanahitaji kujipatia heshima kutoka kwa wengine kutanikoni na kuidumisha. Ndugu vijana wanaweza kufanya nini ili wajipatie heshima kutoka kwa wengine?