Maelezo ya Chini
b Wakati wa huduma yake, nyakati nyingine Yesu alizungumza au kuuliza maswali ambayo kihalisi hayakuwa yakifunua alivyokuwa akihisi. Alifanya hivyo ili kuwapa fursa wafuasi wake waeleze maoni yao.—Marko 7:24-27; Yoh. 6:1-5; tazama Mnara wa Mlinzi wa Oktoba 15, 2010, ukurasa 4-5.