Maelezo ya Chini
a Yehova hajatupatia tu pendeleo la kuwahubiria wengine, bali pia la kuwafundisha mambo yote ambayo Yesu aliamuru. Ni nini kinachotuchochea tutake kuwafundisha wengine? Tunapata changamoto gani katika kazi ya kuhubiri na kufanya wanafunzi? Na tunaweza kushindaje changamoto hizo? Makala hii itajibu maswali hayo.