Maelezo ya Chini
a Maandiko yanafundisha wazi kwamba Yehova Mungu, ndiye Muumba. Lakini watu wengi hawaamini hilo. Wanasisitiza kwamba uhai ulijitokeza wenyewe. Ikiwa tutajitahidi kuimarisha imani yetu katika Mungu na Biblia, madai yao hayawezi kuyumbisha uhakika wetu. Makala hii itafafanua jinsi tunavyoweza kufanya hivyo.