Maelezo ya Chini
b Katika shule nyingi za umma, walimu hata hawafundishi kuwa kuna uwezekano kwamba Mungu aliumba vitu vyote. Baadhi ya walimu wanahisi ikiwa watafanya hivyo, watakuwa wakiwalazimisha wanafunzi waamini kwamba kuna Mungu na kuingilia uhuru wao wa kidini.