Maelezo ya Chini
a Wakristo hawako chini ya Sheria ya Musa, lakini Sheria hiyo inataja mambo mengi ambayo tunapaswa kufanya au kuyaepuka. Kujifunza mambo hayo kunaweza kutusaidia kuwaonyesha wengine upendo na kumfurahisha Mungu. Makala hii inazungumzia jinsi tunavyoweza kunufaika kutokana na baadhi ya masomo kwenye Mambo ya Walawi sura ya 19.