Maelezo ya Chini
a Yesu anatuhimiza tuingie kupitia lango jembamba linaloongoza kwenye barabara ya uzima. Pia, anatuamuru tufanye amani pamoja na waamini wenzetu. Huenda tukakabili changamoto gani tunapojitahidi kutumia shauri hilo, na tunaweza kuzishindaje changamoto hizo?