Maelezo ya Chini
a Andiko la mwaka wa 2022 limetolewa kwenye Zaburi 34:10: “Wale wanaomtafuta Yehova hawatakosa chochote chema.” Watumishi wengi waaminifu wa Yehova hawana pesa au mali nyingi. Basi kwa nini tunaweza kusema kwamba ‘hawakosi chochote chema’? Na kuelewa maana ya mstari huo kunaweza kutusaidiaje kujiandaa kwa ajili ya hali ngumu za wakati ujao?