Maelezo ya Chini
a Yehova anastahili kuabudiwa kwa sababu yeye ndiye aliyeumba vitu vyote. Matendo yetu ya ibada yanakubalika kwake ikiwa tunatii amri zake na kuishi kulingana na kanuni zake. Katika makala hii, tutazungumzia mambo manane yanayohusu ibada yetu. Unapochunguza jinsi unavyoshiriki kufanya mambo hayo, ona jinsi yatakavyoongeza furaha yako.