Maelezo ya Chini
a Ili kurahisisha mambo, tutamzungumzia mwenzi anayefanya uzinzi kuwa mwanamume na mwenzi asiye na hatia kuwa mwanamke. Hata hivyo, kama ilivyoandikwa kwenye Marko 10:11, 12, Yesu alionyesha wazi kwamba shauri hilo linawahusu wanaume na wanawake pia.