Maelezo ya Chini
b MAELEZO YA PICHA: Ndugu alitumikia Betheli alipokuwa kijana. Kisha akafunga ndoa na kufanya upainia pamoja na mke wake. Baada ya kupata watoto, aliwazoeza katika huduma. Sasa akiwa na umri mkubwa, anaendelea kufanya yote anayoweza kulingana na uwezo wake, akitoa ushahidi kwa kuandika barua.