Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO

Maelezo ya Chini

a Tunapomfikiria mtu aliyevumilia majaribu makali, mara nyingi tunamwazia Ayubu. Tunaweza kujifunza nini kutokana na mambo ambayo mwanamume huyo mwaminifu alipitia? Tunajifunza kwamba Shetani hawezi kutulazimisha tumwache Yehova. Tunajifunza pia kwamba sikuzote Yehova anajua kila hali tunayopitia. Kama tu Yehova alivyokomesha majaribu ya Ayubu, siku moja ataondoa mateso yetu yote. Ikiwa tunaonyesha kwa matendo yetu kwamba tunasadiki kabisa ukweli huo, tutakuwa miongoni mwa wale ambao kwa kweli ‘wanamtumaini Yehova.’

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki