Maelezo ya Chini
b Wakati mwingine wazee wa kutaniko wanalazimika kuhukumu katika visa vinavyohusu dhambi nzito na toba. (1 Kor. 5:11; 6:5; Yak. 5:14, 15) Hata hivyo, kwa unyenyekevu wanakumbuka kwamba hawawezi kusoma mioyo na kwamba wanahukumu kwa ajili ya Yehova. (Linganisha 2 Mambo ya Nyakati 19:6.) Wanatumia kwa makini viwango vya Mungu vya haki, vyenye usawaziko na rehema.