Maelezo ya Chini
b Biblia inatuonya kwamba baadhi ya watu katika kutaniko hawangestahili kutumainiwa. (Yuda 4) Katika visa vichache, huenda ndugu wa uwongo wakajaribu kuwapotosha wengine kwa kusema “mambo yaliyopotoka.” (Mdo. 20:30) Tunaepuka kuwatumaini au kuwasikiliza watu hao.