Maelezo ya Chini
b Tukitambua kwamba mtu fulani kutanikoni ana hatia ya kufanya dhambi nzito, tunapaswa kumhimiza azungumze na wazee. Asipofanya hivyo, ushikamanifu wetu kwa Yehova na kutaniko la Kikristo unapaswa kutuchochea kuripoti jambo hilo kwa wachungaji Wakristo.