Maelezo ya Chini
a Makala hii itazungumzia marekebisho katika uelewaji wetu wa maneno ya Yesu yaliyoandikwa kwenye Yohana 5:28, 29 kuhusu “ufufuo wa uzima” na “ufufuo wa hukumu.” Tutajifunza maana ya aina hizo mbili za ufufuo na wale wanaohusika katika kila kisa.