Maelezo ya Chini
b Kitabu hicho kilianza kuandikwa “tangu kuwekwa msingi wa ulimwengu,” yaani, ulimwengu wa watu ambao wanaweza kukombolewa kutoka kwa dhambi. (Mt. 25:34; Ufu. 17:8) Basi, inaonekana kwamba jina la Abeli mwadilifu ndilo jina lililoandikwa kwanza katika kitabu cha uzima.