Maelezo ya Chini
c Zamani, tulifafanua kwamba neno “hukumu” linalotumiwa hapa linamaanisha hukumu isiyofaa, au kupatikana na hatia. Kwa kweli, neno “hukumu” linaweza kuwa na maana hiyo. Lakini katika muktadha huu, inaonekana kwamba Yesu alitumia neno “hukumu” katika maana pana zaidi, akimaanisha kuchunguza na kupima mwenendo au kama kamusi moja ya Kigiriki inavyosema, “kuchanganua tabia.”