Maelezo ya Chini
a Makala hii inatoa uelewaji mpya kuhusu kazi kubwa ya kutoa elimu inayofafanuliwa kwenye Danieli 12:2, 3. Tutachunguza wakati ambao jambo hilo litatokea na wale watakaohusika. Pia, tutaona jinsi kazi hiyo ya kutoa elimu itakavyowatayarisha wale walio duniani kwa ajili ya jaribu la mwisho, mwishoni mwa Utawala wa Miaka Elfu Moja wa Kristo.