Maelezo ya Chini
a Nyakati nyingine, makabila ya Israeli yalipigana kati yao, lakini vita hivyo havikumfurahisha Yehova. (1 Fal. 12:24) Ingawa hivyo, pindi fulani alikubaliana na vita hivyo kwa sababu makabila fulani yalikuwa yamemwasi au kufanya dhambi nyingine nzito.—Amu. 20:3-35; 2 Nya. 13:3-18; 25:14-22; 28:1-8.