Maelezo ya Chini
a Jumanne, ApriliĀ 4, 2023, mamilioni ya watu ulimwenguni pote wataadhimisha Ukumbusho wa kifo cha Kristo. Wengi watahudhuria kwa mara ya kwanza. Wengine ambao wameacha kumtumikia Yehova watahudhuria baada ya miaka mingi. Wengine watalazimika kushinda vizuizi vikubwa ili kuhudhuria. Hata hali zako ziweje, unaweza kuwa na uhakika kuwa Yehova atafurahi kwa sababu ya jitihada ulizofanya ili kuhudhuria.