Maelezo ya Chini
b Waabudu hao wanaamini kwamba wakati wa mwadhimisho huo, mkate na divai hubadilishwa na kuwa mwili na damu ya Kristo. Wanaamini kwamba mwili na damu ya Yesu hutolewa dhabihu kila mara mtu anaposhiriki katika mwadhimisho huo.
b Waabudu hao wanaamini kwamba wakati wa mwadhimisho huo, mkate na divai hubadilishwa na kuwa mwili na damu ya Kristo. Wanaamini kwamba mwili na damu ya Yesu hutolewa dhabihu kila mara mtu anaposhiriki katika mwadhimisho huo.