Maelezo ya Chini
c Maria alifahamu Maandiko vizuri na aliyarejelea. (Luka 1:46-55) Inawezekana kwamba Yosefu na Maria hawakuwa na pesa za kutosha kununua nakala za Maandiko. Ni lazima walisikiliza kwa makini Neno la Mungu liliposomwa kwenye sinagogi ili wakumbuke baadaye.