Maelezo ya Chini
e Pia, tazama Mathayo 19:4-6, ambapo Yesu aliwauliza Mafarisayo swali hilohilo, “Je, hamkusoma?” Ingawa walikuwa wamesoma simulizi kuhusu uumbaji, hawakukazia fikira jambo ambalo simulizi hilo lilifundisha kuhusu maoni ya Mungu kuelekea ndoa.