Maelezo ya Chini
a Alituliza dhoruba kali ya upepo, aliwaponya wagonjwa, na akawafufua wafu. Inasisimua sana kusoma kuhusu miujiza ambayo Yesu alifanya! Masimulizi hayo yameandikwa katika Biblia, si ili kutuburudisha, bali kutufundisha. Tunapoyachunguza, tunajifunza masomo yanayotuimarisha imani kumhusu Yehova na Yesu na tunatambua sifa za kiroho ambazo tunahitaji kusitawisha.