Maelezo ya Chini
a Leo, watu wengi hawaamini ahadi ya Biblia kuhusu ulimwengu mpya. Wanafikiri kwamba ni ndoto, hadithi ya kutungwa, au jambo lisilowezekana. Lakini tuna uhakika kwamba ahadi zote za Yehova zitatimia. Hata hivyo, ili tuendelee kudumisha imani yetu, tunapaswa kuendelea kuiimarisha. Jinsi gani? Makala hii itaeleza.