Maelezo ya Chini
a Yehova aliwapatia wanadamu zawadi ya ndoa, ambayo inamruhusu mume na mke wafurahie upendo wa pekee kati yao. Hata hivyo, wakati mwingine upendo huo unaweza kupoa. Ikiwa umefunga ndoa, makala hii itakusaidia kudumisha upendo kati yenu na kuwa na ndoa yenye furaha.