Maelezo ya Chini
a Gideoni alichaguliwa na Yehova ili kuwaongoza na kuwalinda watu wa Mungu katika kipindi kigumu sana cha historia ya taifa la Israeli. Gideoni alitimiza mgawo huo kwa uaminifu kwa miaka 40 hivi. Hata hivyo, alikabili changamoto mbalimbali. Tutazungumzia jinsi mfano wake unavyoweza kuwasaidia wazee wa kutaniko leo wanapokabili majaribu.