Maelezo ya Chini
a Katika 1 Wathesalonike sura ya 5, tunapata mifano na ulinganifu mbalimbali ambao unatufundisha kuhusu siku ya Yehova inayokuja. “Siku” hiyo ni nini, na itafika jinsi gani? Ni nani ambao wataokoka siku hiyo? Ni nani ambao hawataokoka? Tunawezaje kujitayarisha kwa ajili ya siku hiyo? Tutachunguza maneno ya mtume Paulo na kujibu maswali hayo.