Maelezo ya Chini
a Kama linavyotumiwa katika Maandiko, neno “kuogopa” lina maana zaidi ya moja. Ikitegemea muktadha, linaweza kumaanisha heshima, jambo lenye kutisha, au kustaajabisha. Makala hii itatusaidia kusitawisha woga ambao utatuchochea kuwa jasiri na kumtumikia Baba yetu wa mbinguni kwa ushikamanifu.