Maelezo ya Chini
c Andiko la Mathayo 23:35 linasema kwamba ‘Zekaria alikuwa mwana wa Barakia.’ Maoni yametolewa kwamba huenda Yehoyada alikuwa na majina mawili, kama ilivyo kwenye visa vingine katika Biblia (linganisha Mathayo 9:9 na Marko 2:14), au kwamba Barakia alikuwa babu ya Zekaria au mtu wa ukoo aliyeishi muda mrefu kabla yake.