Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO

Maelezo ya Chini

a Leo, vijana wanaomtumikia Yehova wanakabili changamoto ambazo zinajaribu ujasiri na ushikamanifu wao kwa Yehova. Huenda wanafunzi wenzao wakawadhihaki kwa sababu wanaamini uumbaji. Au huenda vijana wenzao wakajaribu kuwafanya wajione kuwa wapumbavu kwa sababu wanamtumikia Mungu na kuishi kulingana na viwango vyake. Lakini kama tutakavyoona kwenye makala hii, wale wanaomwiga nabii Danieli na kumtumikia Yehova kwa ujasiri na ushikamanifu, kwa kweli ni wenye hekima.

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki