Maelezo ya Chini
b Inawezekana kwamba Danieli alikuwa na sababu tatu zilizomfanya aone chakula cha Wababiloni kuwa kisicho safi: (1) Huenda walikula nyama ya wanyama waliokatazwa kwenye Sheria. (Kum. 14:7, 8) (2) Huenda nyama hiyo haikutolewa damu vizuri. (Law. 17:10-12) (3) Huenda kula chakula hicho kungeonwa kuwa kushiriki ibada ya miungu ya uwongo.—Linganisha Mambo ya Walawi 7:15 na 1 Wakorintho 10:18, 21, 22.