Maelezo ya Chini a Pia, Biblia inaonyesha kwamba Yehova hutenda “kwa ajili ya jina lake.” Kwa mfano, anawaongoza watu wake, anawasaidia, anawakomboa, na kuwahifadhi hai—yote hayo kwa ajili ya jina lake kuu, Yehova.—Zab. 23:3; 31:3; 79:9; 106:8; 143:11.