Maelezo ya Chini
a Makala hii itatusaidia kukimbia mbio za uzima. Tukiwa wakimbiaji, ni lazima tubebe majukumu fulani. Majukumu hayo yanatia ndani ahadi tuliyotoa tulipojiweka wakfu kwa Yehova, majukumu katika familia, na kuwajibika kwa sababu ya maamuzi tunayofanya. Lakini ni lazima tuondoe uzito wowote usio wa lazima unaoweza kufanya tupunguze mwendo. Hilo linatia ndani nini? Makala hii itajibu swali hilo.