Maelezo ya Chini
a Kusoma Biblia kunaweza kuwa jambo lenye kufurahisha, tunaloweza kufanya katika maisha yetu yote na linalotusaidia kumkaribia hata zaidi Baba yetu wa mbinguni. Katika makala hii, tutaona jinsi tunavyoweza kuchunguza kwa undani “upana na urefu na kimo na kina” cha Neno la Mungu.