Maelezo ya Chini
c Karibu na mwisho wa ile miaka 40 waliyokuwa nyikani, Waisraeli walichukua nyara ya mamia ya maelfu ya wanyama vitani. (Hes. 31:32-34) Ingawa hivyo, waliendelea kula mana hadi walipoingia katika Nchi ya Ahadi.—Yos. 5:10-12.
c Karibu na mwisho wa ile miaka 40 waliyokuwa nyikani, Waisraeli walichukua nyara ya mamia ya maelfu ya wanyama vitani. (Hes. 31:32-34) Ingawa hivyo, waliendelea kula mana hadi walipoingia katika Nchi ya Ahadi.—Yos. 5:10-12.