Maelezo ya Chini
a Tunataka kupata kibali cha Mungu na atuone kuwa waadilifu. Kwa kutumia maneno ya Paulo na Yakobo, makala hii itazungumzia jinsi hilo linavyowezekana na kwa nini tunahitaji kuwa na imani na pia matendo ili tupate kibali cha Yehova.