Maelezo ya Chini
a Katika makala hii, tutachunguza tumaini letu la Kikristo linatia ndani mambo gani na kwa nini tunaweza kuwa na uhakika kwamba litatimia. Waroma sura ya 5 itatusaidia kuona jinsi tumaini tulilo nalo sasa linavyotofautiana na tumaini tulilokuwa nalo tulipoanza kujifunza kweli.