Maelezo ya Chini
b Neno la Mungu haliwatii moyo watu watengane na linaeleza wazi kwamba kutengana hakumpi mtu haki ya kufunga ndoa na mtu mwingine. Hata hivyo, baadhi ya Wakristo wameamua kutengana kwa sababu ya hali fulani. Tazama maelezo ya ziada ya 4 “Mume na Mke Kutengana” katika kitabu Furahia Maisha Milele!