Maelezo ya Chini
a Maandiko ya Kiebrania hayataji moja kwa moja maneno “mkomavu” au “asiye mkomavu,” lakini yanazungumzia wazo lililo katika maneno hayo. Kwa mfano, kitabu cha Methali kinamtofautisha mtu ambaye ni kijana na ambaye ni mjinga na yule mwenye hekima na uelewaji.—Met. 1:4, 5.