Maelezo ya Chini
c Kupapasa-papasa viungo vya uzazi vya mtu mwingine ni namna ya uasherati inayohitaji wazee wa kutaniko wachukue hatua ya kihukumu. Kupapasa-papasa matiti na mazungumzo yasiyo ya kimaadili kupitia jumbe fupi au kwa njia ya simu pia yanaweza kuhusisha hatua za kihukumu, ikitegemea hali.