Maelezo ya Chini
a UFAFANUZI WA MANENO: “Roho” inayotajwa kwenye Mathayo 26:41 ni nguvu zilizo ndani yetu zinazofanya tuhisi au kutenda kwa njia fulani. “Mwili” ni hali yetu ya kutokuwa wakamilifu. Hivyo, huenda tukawa tumeazimia kufanya jambo lililo sawa, lakini ikiwa hatutakuwa waangalifu, tunaweza kushawishiwa kufanya jambo ambalo Biblia inasema ni kosa.