Maelezo ya Chini
a UFAFANUZI WA MANENO: Katika Biblia, neno “dhambi” linaweza kurejelea matendo mabaya, kushindwa kutenda au kuishi kulingana na viwango vya Yehova vya maadili. Lakini neno “dhambi” linaweza pia kurejelea hali ya kutokuwa wakamilifu au ya kuwa watenda dhambi ambayo tumerithi kutoka kwa Adamu. Sisi sote tunakufa kwa sababu ya dhambi tuliyorithi.