Maelezo ya Chini
a Kisa hiki kilikuwa cha pekee. Leo, si takwa la Yehova kwamba mwenzi wa ndoa asiye na hatia aendelee kubaki katika ndoa na mwenzi wake aliyefanya uzinzi. Isitoshe, Yehova alimwongoza Mwana wake kufafanua kwamba mume au mke anaweza kumtaliki mwenzi wake aliyefanya uzinzi, ikiwa ataamua kufanya hivyo.—Mt. 5:32; 19:9.