Maelezo ya Chini
a Kwa mfano, huenda Mkristo mwenzako akakataa kufanya kazi ili kujitegemeza ingawa ana uwezo wa kufanya hivyo, huenda anaendeleza uchumba na mtu asiyeamini, au huenda anaeneza mazungumzo yanayosababisha migawanyiko au porojo zenye kuumiza. (1 Kor. 7:39; 2 Kor. 6:14; 2 The. 3:11, 12; 1 Tim. 5:13) Wale wanaoendelea na mwenendo kama huo ‘hawafuati utaratibu.’