Maelezo ya Chini
a Katika sura ya 2 na 3 ya barua yake ya kwanza, mtume Petro anazungumzia hali mbalimbali ambazo Wakristo wengi wa karne ya kwanza walikabili walipotendewa isivyo haki na mabwana wakali au waume wasioamini.—1 Pet. 2:18-20; 3:1-6, 8, 9.