Maelezo ya Chini
f Biblia haisemi habari hususa kuhusu ni matendo gani ya kingono kati ya mume na mke yanayoonwa kuwa safi au si safi. Ni lazima wenzi wa ndoa Wakristo wafanye maamuzi ambayo yanaonyesha kwamba wameazimia kumheshimu Yehova, kuwapendeza wenzi wao, na kudumisha dhamiri safi. Kwa ujumla, wenzi wa ndoa hawatazungumza na wengine kuhusu suala hili la kibinafsi la ndoa yao.