Maelezo ya Chini
b Kukusanywa kwa “vitu vilivyo mbinguni” ambako Paulo anataja kwenye Waefeso 1:10, ni tofauti na kukusanywa kwa “watu wake waliochaguliwa” ambako Yesu anataja kwenye Mathayo 24:31 na Marko 13:27. Paulo anarejelea wakati ambao Yehova anawachagua wale watakaotawala mbinguni pamoja na Yesu kwa kuwatia mafuta kwa roho takatifu. Yesu anarejelea wakati ambao watiwa-mafuta waliobaki duniani watakusanywa na kwenda mbinguni wakati wa dhiki kuu.