Maelezo ya Chini
a Pindi fulani, malaika pia walimwakilisha Yehova walipowasilisha jumbe mbalimbali katika jina lake. Hiyo ndiyo sababu kuna sehemu katika Biblia ambazo malaika anatajwa au anarejelewa kana kwamba ni Yehova mwenyewe. (Mwa. 18:1-33) Ingawa Maandiko yanasema kwamba Musa alipokea Sheria kutoka kwa Yehova, mistari mingine inaonyesha kwamba alipokea Sheria hiyo kupitia malaika.—Law. 27:34; Mdo. 7:38, 53; Gal. 3:19; Ebr. 2:2-4.